Abibi na Apoloni ni kati ya wamonaki Wakristo wa Misri wa karne ya 4.

Abibi alipata ushemasi na ndiye aliyetangulia kufariki.

Hayajulikani mengine kuhusu historia yao, ila tangu kale wanaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 22 Oktoba au 4 Novemba.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Holweck, F. G. A Biographical Dictionary of the Saints. St. Louis, MO: B. Herder Book Co. 1924.
  • Budge, Sir E.A.Wallis (1976). the book of the saints of the Ethiopian church, Vol 1. Cambridge: CUP Archive. p. 192. 
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.