Abu Ballas

kilima huko Misri

Abu Ballas ( kilima cha ufinyanzi ) ni eneo la kiakiolojia katika jangwa la Libya nchini Misri . Eneo hili lipo takribani kilomita 200 kusini-magharibi mwa Oases ya Dakhla na kuna koni mbili za mchanga katika jangwa ambalo si tambarare.

Milima yote miwili imefunikwa na vyombo vya udongo huko Misri. Vyombo hivo vilikuwa mwanzoni mwa karne ya 20 mara nyingi vilihifadhiwa vizuri, lakini leo, kutokana na utalii wa kisasa umeharibiwa sana. Sehemu hiyo iligunduliwa mnamo mwaka 1918 na 1923. [1] Utafiti wa hivi karibuni ulifanyika katika miaka kadhaa iliyopita. [2]

Picha hariri

Marejeo hariri

  1. H. Kemal l Dine, L. Franchet: Les dépots de jarresdu désert de Lybie, in: Revue scientifique 65 1927), pp.596-600.
  2. Frank Förster: Beyond Dakhla: The Abu Ballas Trail in the Libyan Desert (SW Egypt), In: Frank Förster, Heiko Riemer: Desert Road Archaeology in Egypt and Beyond, Cologne 2013.