Adelelmo, O.S.B. (pia: Elesmo, Aleaunie au Lesmes; Loudun, Poitou, Ufaransa, 1035 hivi - Burgos, Hispania, 1097 hivi) alikuwa kwanza askari, baadaye mmonaki padri aliyehudumia kama abati kwanza nchini mwake, halafu huko Burgos kisha kugeuza kanisa na hosteli[1] kuwa monasteri[2][3].

Mt. Adelelmo alivyochorwa katika kanisa kuu la Burgos.

Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 30 Januari[4].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.