Aix-en-Provence ni mji wa Ufaransa katika mkoa wa Provence-Alpes-Côte d'Azur.

Aix-en-Provence
Aix-en-Provence is located in Ufaransa
Aix-en-Provence
Aix-en-Provence

Mahali pa mji wa Aix-en-Provence katika Ufaransa

Majiranukta: 43°32′0″N 5°26′0″E / 43.53333°N 5.43333°E / 43.53333; 5.43333
Nchi Ufaransa
Mkoa Provence-Alpes-Côte d'Azur
Wilaya Bouches-du-Rhône
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 142,534
Tovuti:  www.mairie-aixenprovence.fr/
Sehemu ya mji wa Aix-en-Provence

Mji upo m 73-511 juu ya usawa wa bahari, km 30 kaskazini kwa Marseille.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2006, wakazi wapatao 140,000 wanaishi katika mji huu.

Tazama pia hariri

Viungo vya nje hariri

 
WikiMedia Commons


  Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Aix-en-Provence kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.