Ajuture, O.S.B. (kwa Kifaransa: Adjutor, Adjouter, Adjoutre, Ayoutre, Ayutre, Ajutre, Ustre, yaani Msaidizi; Vernon, leo nchini Ufaransa, 1070 hivi [1] - Pressagny-l'Orgueilleux, 30 Aprili 1131) alikuwa askari katika vita vya msalaba ambaye alipokamatwa na Waislamu alikataa kukana imani ya Kikristo.

Sanamu yake.

Alijiunga baadaye na monasteri ya Wabenedikto akawa mkaapweke[2].

Tangu kale huheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

Viungo vya nje hariri