Anastasi wa Schemaris

Anastasi wa Schemaris (alifariki Schemaris, Lazica, leo nchini Georgia, mwaka 666) alikuwa mmonaki mfuasi wa Maksimo Muungamadini na mshiriki wa mateso yake kwa ajili ya imani sahihi[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 22 Julai[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.