Georgia
Kwa matumizi mengine ya jina hili tazama Georgia (maana)
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: ძალა ერთობაშია(Kigeorgia) "Nguvu ni Umoja" | |||||
Wimbo wa taifa: Tavisupleba ("Uhuru") | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Tbilisi | ||||
Mji mkubwa nchini | Tbilisi | ||||
Lugha rasmi | Kigeorgia (pia Kiabkhazi katika Abkhazia) | ||||
Serikali | Jamhuri Giorgi Margvelashvili Irakli Garibashvili | ||||
Chanzo cha Taifa Kuanzishwa kwa Kolkhis na Iberia ya Kaukazi kama falme za kwanza katika Georgia Ufalme wa Georgia uliounganishwa Jamhuri ya kwanza ya Georgia Uhuru kutoka Umoja wa Kisovyeti Ilitangazwa Ilitambuliwa Ilikamilishwa |
mnamo2000 BC 1008 26 Mei 1918 9 Aprili 1991 6 Septemba 1991 25 Desemba 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
69,420 km² (ya 120) | ||||
Idadi ya watu - 2017 kadirio - 2014 sensa - Msongamano wa watu |
3,718,200[1] (ya 1311) 3,729,635 53.5/km² (137) | ||||
Fedha | Lari (ლ) (GEL )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
MSK (UTC+3) MSD (UTC+4) | ||||
Intaneti TLD | .ge | ||||
Kodi ya simu | +995
- | ||||
1 Population figure excludes Abkhazia and South Ossetia. |
Georgia (kwa Kigeorgia: საქართველო "Sakartvelo") ni nchi ya Kaukazi kati ya Ulaya na Asia kwenye mwambao wa Bahari Nyeusi.
Imepakana na Urusi, Uturuki, Armenia na Azerbaijan.
JiografiaEdit
Georgia ni hasa nchi ya milima ya Kaukazi inayofikia kimo cha mita 5,068. Kati ya safu mbili za milima kuna tambarare ya Kolkhis.
Upande wa magharibi unaathiriwa na Bahari Nyeusi: una hali ya hewa poa na mvua nyingi inayofaa kwa kilimo hasa cha mizabibu.
Maeneo ya Abkhazia na Ossetia ya Kusini yamedai uhuru na kwa sasa hayapo chini ya serikali kuu.
HistoriaEdit
Georgia ilikuwa sehemu ya Umoja wa Kisovyeti lakini imekuwa nchi huru tangu 1991.
UtamaduniEdit
Georgia ina wakazi milioni 3.7. Zaidi ya milioni 1 hukaa mjini Tbilisi.
Wakazi walio wengi (71%) husema Kigeorgia lakini kuna vikundi vya wasemaji wa Kirusi (9%), Kiarmenia (7%), Kiazeri (6%) na lugha nyingine.
Wageorgia wengi ni Wakristo wanaofuata Kanisa la Kiorthodoksi la Georgia (83.9%). Kuna pia wafuasi wa Kanisa la Kitume la Armenia (3.9%) na Wakatoliki (0.8%). Waislamu ni 9.9%, wakati Wayahudi wanazidi kuhama.
Watu maarufuEdit
Mgeorgia anayejulikana zaidi duniani alikuwa Josef Stalin, mtawala wa Urusi wakati wa Ukomunisti.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ "Number of Population as of January 1, 2017 — National Statistics Office of Georgia" (PDF). Retrieved 1 May 2017.
Viungo vya njeEdit
- Serikali
- President of Georgia
- Government of Georgia
- Ministry of Foreign Affairs of Georgia
- Department of Tourism and Resorts
- American Chamber of Commerce in Georgia
- Chief of State and Cabinet Members
- Taarifa za jumla
- Georgia entry at The World Factbook
- Georgia at UCB Libraries GovPubs
- Georgia katika Open Directory Project
- Georgia profile from the BBC News
- Wikimedia Atlas of Georgia
- Association of Modern Scientific Investigation – (AMSI)
- News media
- Civil Georgia, daily news about Georgia
- Crisis profile, Georgia, Abkhazia, S. Ossetia From Reuters Alertnet
- Georgian Daily, all the latest news from Georgia and related to Georgia
- NewsGeorgia Google Translation into English from the NewsGeorgia (Russian Language) site
- GeorgiaCaucasus.com GeorgiaCaucasus.com – online info Magazine dedicated to Georgia and Caucasus
Nchi na maeneo ya Asia |
Afghanistan | Armenia2 | Azerbaijan | Bahrain | Bangladesh | Bhutan | Brunei | China | Falme za Kiarabu | Georgia2 | Hong Kong3 | Indonesia | Iran | Iraq | Israel | Japan | Kambodia | Kazakhstan | Kirgizstan | Korea Kaskazini | Korea Kusini | Kupro2 | Kuwait | Laos | Lebanon | Macau3 | Malaysia | Maldivi | Mongolia | Myanmar | Nepal | Omani | Pakistan | Palestina | Qatar | Saudia | Singapore | Sri Lanka | Syria | Taiwan (Jamhuri ya China) | Tajikistan | Timor ya Mashariki | Turkmenistan | Ufilipino | Uhindi | Urusi1 | Uthai | Uturuki1 | Uzbekistan | Vietnam | Yemen | Yordani |
1. Nchi ina maeneo katika Asia na Ulaya. 2. Nchi iko Asia lakini inahesabiwa pia kati ya nchi za Ulaya kwa sababu za historia au utamaduni. 3. Eneo la pekee la China. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ulaya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Georgia kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |