Mnara wa Azimio la Arusha

(Elekezwa kutoka Arusha Declaration Monument)

Mnara wa Azimio la Arusha ni mnara wa kihistoria na kivutio cha watalii kilicho katika kata ya Kati huko Arusha, Tanzania.

Mnara wa Azimio la Arusha.

Ulizinduliwa mwaka 1977 na chama tawala cha taifa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati wa kuadhimisha miaka kumi ya Azimio la Arusha. [1] Upo kando ya barabara ya Makongoro, katikati ya mzunguko.

Mnamo Aprili 2015, sehemu ya mnara huo iliharibiwa wakati ambapo moja ya sahani zake za shaba ilipoibwa. [2][3]

Picha hariri

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Edmund Christopher Matotay (16 Aprili 2010). Place and Tourism Promotion: Urban Regeneration?. Cambridge Scholars Publishing. ku. 8–. ISBN 978-1-4438-2204-6.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "Northern Tanzania's authorities grapple to rescue historic monuments from vandalism". Xinhuanet. 11 Aprili 2015. Iliwekwa mnamo 5 Agosti 2015.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. Mashalla, Moses. "Mnara wa Azimio la Arusha ‘umepoteza’ historia yake", 23 March 2015. 
  Makala hii kuhusu maeneo ya Tanzania bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Mnara wa Azimio la Arusha kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.