Azimio la Umoja
Chama cha siasa nchini Kenya
Azimio la Umoja au One Kenya Coalition Party[1][2][3] ni muungano wa kisiasa ulioanzishwa nchini Kenya mwaka wa 2021 na kuwa chama cha kisiasa kwenye Aprili 2022[4]. Chama hicho kilianzishwa kama farakano katika chama cha Jubilee asilia baada ya rais wa nne wa jamhuri ya Kenya kukosana na naibu wake William Ruto na baadaye kumuunga mkono aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Kenya, Raila Odinga[5][6].
Hii ilitokana na rais wa nne Uhuru Kenyatta kupeana mkono wa amani[7] na Raila Odinga mwaka wa 2018 na baadaye Uhuru kuanza kuwatoa wanaomuunga naibu wa rais William Ruto katika vyeo vya kiserikali.
Wanachama/vinara hariri
Vyama vikuu
- ODM - Raila Odinga, Kinara wa chama
- NARC-Kenya - Naibu kinara wa chama
- Chama cha Jubilee - Uhuru Kenyatta, Mwenyekiti wa muungano
- Wiper Democratic Movement - Kalonzo Musyoka[8]
Vyama kwa muungano
- ODM
- Jubilee
- Wiper
- Kanu
- Udp
- Pnu
- Maendeleo chap chap
- Usawa kwa wote
- Narc
- Paa
- Upia
- Kup
- Upf
- Muungano party
- Dep
- Upa
- Udp
- Farmers party
Sababu ya kuundwa hariri
- Azimio la Umoja limepangwa kuwa chama cha kumvalisha Raila Odinga taji ya urais wa tano wa Kenya.[9]
- Kuunganisha jamii zote za Kenya katika serikali ijayo kama watashinda kwenye uchaguzi ujao[10][11]
- Kuzipa nafasi makabila mengine kutawala jamhuri ya Kenya[12]
- Kuwapa kazi vijana kwa kufanikiwa katika uchaguzi[13]
Kura za maoni hariri
Manifesto hariri
Tanbihi hariri
- ↑ Ndung’u Gachane. "Raila in Mt Kenya to quell Azimio zoning concerns". The Standard (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-05-04.
- ↑ Erastus Mulwa. "Ruto allies accuse Azimio leaders of disrespecting Kalonzo". The Standard (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-05-04.
- ↑ https://www.the-star.co.ke/authors/aliwamoses. "Why affiliates parties have been cornered in Azimio deal". The Star (kwa en-KE). Iliwekwa mnamo 2022-05-04.
- ↑ https://nation.africa/kenya/news/politics/boost-for-raila-as-azimio-oka-form-coalition-political-party-3768774 Boost for Raila as Azimio, OKA form coalition political party, tovuti ya Nation 02.04.2022
- ↑ Njoki Kihiu (2022-03-23). "Raila heaps praise on Karua as she joins Azimio La Umoja » Capital News". Capital News (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-03-26.
- ↑ Raila's Azimio la Umoja team takes Ruaraka and Mathare constituencies by storm, hits out at DP Ruto (kwa sw-TZ), iliwekwa mnamo 2022-03-26
- ↑ "2018 Kenya handshake", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-03-20, iliwekwa mnamo 2022-03-26
- ↑ Davis Ayega (2022-05-04). "I will not 'humiliate' myself, Kalonzo says on attending Azimio's running mate interviews » Capital News". Capital News (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-05-04.
- ↑ Laban Wanambisi (2022-02-26). "Raila's big crowning moment is here » Capital News". Capital News (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 2022-03-26.
- ↑ "Raila calls for unity as Mount Kenya Foundation, Maa community rally behind his presidential bid". Citizen Digital (kwa en-KE). 2022-01-25. Iliwekwa mnamo 2022-03-26.
- ↑ "OPARANYA: AZIMIO LA UMOJA WILL UNITE ALL TRIBES IN THE WESTERN REGION – Kenyatta University TV (KUTV). All Rights Reserved." (kwa en-US). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-05-20. Iliwekwa mnamo 2022-03-26.
- ↑ President Uhuru hits out at DP; says only two tribes have held power | Political Point (kwa sw-TZ), iliwekwa mnamo 2022-03-26
- ↑ Mumbi Mutuko on 10 December 2021-7:00 pm. "Raila Odinga's 10 Point Manifesto". Kenyans.co.ke (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-03-26.
- ↑ "2022 Kenyan general election", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-03-26, iliwekwa mnamo 2022-03-27
- ↑ "2022 Kenyan general election", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2022-04-27, iliwekwa mnamo 2022-05-04
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-06-16. Iliwekwa mnamo 2022-06-12.
- ↑ "Nakala iliyohifadhiwa". Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-06-06. Iliwekwa mnamo 2022-06-12.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |