Banana Yaya

Mchezaji wa soka wa Kamerun

Banana Yaya (alizaliwa 29 Julai 1991) ni mchezaji wa soka wa Kamerun ambaye anacheza kama beki wa kati katika klabu ya Panionios kwa mkopo kutoka Olympiacos.

Banana Yaya
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaKamerun Hariri
Nchi anayoitumikiaKamerun Hariri
Jina halisiYaya Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa29 Julai 1991, 9 Julai 1991 Hariri
Mahali alipozaliwaMaroua Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timucentre-back Hariri
Muda wa kazi2009 Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji3 Hariri
Ameshiriki2019 Africa Cup of Nations Hariri

Ana uzito wa kilo 108 na urefu wa mita 1.92.

Kazi ya kimataifa hariri

Yaya alicheza kwa mara ya kwanza Cameroon katika mechi ya kirafiki dhidi ya Thailand mwezi Machi 2015.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Banana Yaya kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.