Benilde wa Cordoba
Benilde wa Cordoba (alifariki Cordoba, Hispania, 15 Juni 853) alikuwa mwanamke mzee mjane aliyeuawa kwa kukatwa kichwa na Waislamu waliotawala nchi hiyo kutokana na yeye kujitokeza kwa kadhi kukiri imani yake ya Kikristo[1].
Taarifa zake ziliandikwa na Eulogi wa Kordoba[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia hariri
Tanbihi hariri
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/57360
- ↑ Latin writings of Eulogius pdf downloads at documentacatholicaomnia.eu
- ↑ Complete Works of Eulogius of Cordoba English translations of Eulogius' writings.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |