Bernd Leno
Bernd Leno (alizaliwa 4 Machi 1992)[1][2][3] ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama golikipa wa klabu ya Ligi Kuu ya Uingereza Arsenal na timu ya taifa ya Ujerumani.
Bernd Leno
Jinsia | mume |
---|---|
Nchi ya uraia | Ujerumani |
Nchi anayoitumikia | Ujerumani |
Jina katika lugha mama | Bernd Leno |
Jina halisi | Bernd |
Jina la familia | Leno |
Tarehe ya Kuzaliwa | 4 Machi 1992 |
Mahali alipozaliwa | Bietigheim-Bissingen |
Lugha ya asili | Kijerumani |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kijerumani |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | goalkeeper |
Muda wa kazi | 2009 |
Mwanachama wa timu ya michezo | VfB Stuttgart II, Bayer 04 Leverkusen, Arsenali, Fulham F.C., Timu ya Taifa ya Kandanda ya Ujerumani |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Namba ya Mchezaji | 17 |
Ameshiriki | UEFA Euro 2016, 2017 FIFA Confederations Cup |
Ligi | 3. Liga, Bundesliga, Ligi Kuu Uingereza |
Tovuti | no value |
Mnamo Mei 2011, Leno alisaini mkataba wake wa kwanza na VfB Stuttgart hadi Juni 2014, baada ya hapo alikwenda Bayer leverkusen, na baada ya miaka miwili alihamia Arsenal.
Marejeo
- ↑ "Bernd Leno: Overview". Premier League. Iliwekwa mnamo 17 August 2019. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "Bernd Leno: Overview". ESPN. Iliwekwa mnamo 1 July 2020. Check date values in:
|accessdate=
(help) - ↑ "FIFA Confederations Cup Russia 2017: List of Players: Germany". FIFA. 2 July 2017. uk. 4. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 22 December 2017. Iliwekwa mnamo 2022-05-23. More than one of
|archiveurl=
na|archive-url=
specified (help); More than one of|archivedate=
na|archive-date=
specified (help); Check date values in:|date=, |archivedate=
(help)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Bernd Leno kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |