Clément Lenglet

Mchezaji mpira wa Ufaransa

Clement Lenglet (matamshi ya Kifaransa: [klemɑ lɑɡlɛ]; alizaliwa 17 Juni 1995) ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye anacheza kama beki wa kati katika klabu ya Hispania FC Barcelona.

Clément Lenglet
binadamu
Jinsiamume Hariri
Nchi ya uraiaHispania, Ufaransa Hariri
Nchi anayoitumikiaUfaransa Hariri
Jina katika lugha mamaClément Lenglet Hariri
Jina la kuzaliwaClément Nicolas Laurent Lenglet Hariri
Jina halisiClément Hariri
Jina la familiaLenglet Hariri
Tarehe ya Kuzaliwa17 Juni 1995 Hariri
Mahali alipozaliwaMadrid Hariri
Lugha ya asiliKifaransa Hariri
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihiKifaransa Hariri
Kaziassociation football player Hariri
Nafasi anayocheza kwenye timucentre back Hariri
Muda wa kazi2013 Hariri
Mwanachama wa timu ya michezoAston Villa F.C. Hariri
MchezoMpira wa miguu Hariri
Namba ya Mchezaji17 Hariri
Clément Lenglet ni mchezaji wa soka wa Ufaransa ambaye anacheza kama beki wa kati wa clabu ya FC Barcelona

Alianza kazi yake na klabu ya Nancy huko Ufaransa, akiwa amefanya maonyesho 85 tangu mwanzo wake mwaka 2013, na kushinda taji la Ligue 2 katika msimu wa 2015-16.

Mnamo Januari 2017, alijiunga na Sevilla kwa ada ya euro milioni 5.4 ambapo aliendelea kufanya maonyesho, akifunga mabao 13, kwa muda wa miezi 18 kabla ya kujiunga na Barcelona kwa ada ya milioni 35.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Clément Lenglet kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.