Didimo wa Ankara (pia: Gemellus; alifariki Ancyra, leo Ankara, nchini Uturuki, 362 hivi) alikuwa Mkristo wa Paflagonia[1] katika Dola la Roma aliyefia imani yake wakati wa kaisari Juliani Mwasi, inasemekana kwa kusulubiwa[2][3].

Kifodini cha Mt. Didimo katika mchoro mdogo wa Menologion of Basil II.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba.[4]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Sir William Smith, A dictionary of christian biography, literature, sects and doctrines: being a continuation of "The dictionary of the Bible", Volume 1 (Little, Brown & Co., 1880), 623.
  2. Michael Walsh, A New Dictionary of Saints: East and West (Liturgical Press, 2007), 222.
  3. http://www.santiebeati.it/dettaglio/80920
  4. Martyrologium Romanum (Libreria Editrice Vaticana, 2001, ISBN|88-209-7210-7)
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.