Dioskoro wa Qais (alifia dini Aleksandria, Misri, 305 hivi) alikuwa Mkristo wa Qais, Misri, mtoto wa msomaji.

Baada ya kukaa muda mrefu gerezani na kuteswa kwa namba mbalimbali kwa ajili ya imani yake, alikatwa kichwa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Mei[2] au 13 Oktoba.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. https://www.santiebeati.it/dettaglio/53760
  2. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.