Djamel Belmadi (alizaliwa 25 Machi 1976) ni mkufunzi wa soka wa kulipwa na mchezaji wa zamani anayesimamia timu ya taifa ya Algeria. Alizaliwa Ufaransa, anaiwakilisha Algeria kimataifa.

Djamel Belmadi.

Ushiriki Katika klabu hariri

Ufaransa na Uhispania Belmadi alizaliwa huko Champigny-sur-Marne, Ufaransa, alianza maisha yake ya soka katika klabu ya Paris Saint-Germain, akicheza mechi yake ya kwanza Januari 1996 dhidi ya klabu ya Gueugnon kabla ya kukaa kwa msimu mmoja huko Martigues.

Ushiriki Kimataifa hariri

Belmadi alicheza mechi yake ya kwanza kwa Algeria tarehe 9 Julai 2000 dhidi ya Morocco.

Usimamizi hariri

Lekhwiya Katika majira ya kiangazi ya mwaka 2010, Belmadi aliteuliwa kama kocha mkuu wa klabu mpya ya Lekhwiya ya Ligi ya Qatar iliyopandishwa daraja. [1]

 
Belmadi akiifundisha Timu Ya Lekhwiya katika mechi ya Ligi ya Qatar Stars dhidi ya Al Sadd

Marejeo hariri

Viungo Vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Djamel Belmadi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.