Eldrado, O.S.B. (Ambel, Ufaransa, 781 - Novalesa, Piemonte, 844) alikuwa abati wa monasteri ya Novalesa ambayo chini yake ilifikia kilele cha ustawi wake.

Mchoro wa ukutani unaomuonyesha.

Mpenzi wa liturujia, alirekebisha taratibu za kusali Zaburi na kujenga makanisa mapya nchini Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 13 Machi chake[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Marc'Antonio Carretto, Vita, e miracoli di S. Eldrado abbate dell'insigne monasterio di s. Pietro della Noualesa, in Torino per Gio. Battista Zappata, 1693
  • Giovanni Lunardi, S. Eldrado abate del monastero di Novalesa (secolo IX), 1993, 2ª ed. 1999
  • Sant'Eldrado, abate di Novalesa (IX secolo). Atti della I Giornata internazionale di studio, Novalesa 29 agosto 1998, a cura di Giovanni Lunardi, Abbazia dei Santi Pietro e Andrea, Novalesa 2000

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.