Evermodo, O.Prem. (Ubelgiji, 1100 hivi – Ratzeburg, Ujerumani, 17 Februari 1178) alikuwa Mkristo ambaye, baada ya kuguswa na mahubiri ya Norbert wa Xanten, akawa kanoni wa shirika la Premontree aliongozana naye hadi alipofariki dunia.

Mt. Evermodo kati ya watakatifu wawili.

Baadaye akaongoza na kuanzisha monasteri mbalimbali[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu. Heshima hiyo ilithibitishwa na Papa Benedikto XIII mwaka 1728.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 17 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.