Fronti wa Perigueux

Fronti wa Perigueux (alifariki Perigueux, Akwitania, leo nchini Ufaransa) alikuwa Mkristo ambaye aliinjilisha mji huo.

Mt. Fronti katika dirisha la kioo cha rangi huko Lalinde.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Oktoba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • Guy Penaud, Dictionnaire biographique du Périgord, éditions Fanlac, Périgueux, 1999, p. 411 | isbn=2-86577-214-4
  • Maurice Coens, « La Vie ancienne de S. Front de Périgueux », dans Analecta Bollandiana, 1930, volume 48, p. 324-360
  • Jean-Claude Ignace, « Réflexions sur la légende et le culte de saint Front : à propos des travaux de M. le Chanoine A. Fayard », dans Bulletin de la Société historique et archéologique du Périgord, 1979, tome 106, p. 52-72 (lire en ligne)
  • (Kilatini) François du Bosquet, « De Frontone Petrocoriorum », dans Ecclesiae Gallicanae historiarum, par Jean Camusat, Paris, 1636, tome 1, Livre 1, XIII-XIV-XV, p. 25-32 [1]
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.