Geroldi
Geroldi (Retia, 900 hivi - Frisun, Vorarlberg, leo nchini Austria, 978) alikuwa Mkristo wa ukoo bora aliyeacha mke na watoto akaishi kama mkaapweke[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia hariri
Marejeo hariri
Viungo vya nje hariri
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |