Gharama ni thamani ya pesa ambayo imetumiwa ili kupata kitu au kutoa huduma, na hivyo haipatikani kwa matumizi tena.

Kitabu cha mahesabu ya mwaka 1828.

Katika biashara, gharama inaweza kuwa ile ya ununuzi: katika kesi hiyo kiasi cha fedha kilichotumiwa kupata kitu huhesabiwa kama gharama. Katika kesi hii, pesa ni pembejeo ambayo imekwenda ili kupata kitu.

Gharama ya upatikanaji inaweza kuwa jumla ya gharama za uzalishaji kama inavyotokana na mtayarishaji wa awali, na gharama zaidi za manunuzi ya malighafi.

Kwa kawaida bei ya kuuzia inalenga faida juu ya gharama za uzalishaji.

Marejeo hariri

  • William Baumol (1968), Entrepreneurship in Economic Theory. American Economic Review, Papers and Proceedings.
  • Stephen Ison and Stuart Wall (2007), Economics, 4th Edition, Harlow, England; New York: FT Prentice Hall.
  • Israel Kirzner (1979), Perception, Opportunity and Profit, Chicago: University of Chicago Press.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gharama kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.