Gordiani (alifariki Roma, 300 hivi) alikuwa Mkristo wa Roma ya Kale ambaye aliuawa kwa ajili ya imani yake na kuzikwa karibu na mfiadini Epimaki hivi kwamba wameheshimiwa pamoja ingawa hawakuwa pamoja maishani[1][2].

Wat. Gordiani na Epimaki katika Nuremberg Chronicle.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Mei[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.