Guntram
Guntram (pia: Gontran, Gontram, Guntram, Gunthram, Gunthchramn, Guntramnus; Soissons, Aisne, leo nchini Ufaransa, 532 hivi - Chalon-sur-Saône, leo nchini Ufaransa, 28 Machi 592) alikuwa mfalme wa Wafaranki huko Orleans na Burgundy tangu mwaka 561[1][2].
Alikuwa na tabia mbaya na kutenda dhambi nyingi, lakini imani ilimuongoza kuheshimu Kanisa na viongozi wake, kujenga monasteri na kuhamasisha uinjilishaji, kupatanisha ndugu zake[3], kusaidia maskini na kuwaombea kwa kufunga mwenyewe[4].
Kwa sababu hiyo tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia Edit
Tanbihi Edit
- ↑ Butler, Rev Fr Alban (May 2009). Lives of the Saints: For Every Day in the Year (in en). TAN Books, 220. ISBN 9781618903075.
- ↑ Ian Wood, The Merovingian Kingdoms 450–751 (Longman Group, 1994), 56.
- ↑ Medieval Sourcebook: (St.) Gregory of Tours: History of the Franks (Decem Libri Historiarum)
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/47500
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo Edit
- Henry H. Howorth. "The Ethnology of Germany. Part 3: The Migration of the Saxons." The Journal of the Anthropological Institute of Great Britain and Ireland, Vol. 7. 1878. pp. 293–320.
- Dahmus, Joseph Henry. Seven Medieval Queens. 1972.
- Gregory of Tours. The History of the Franks, Volume II: Text. Trans. by Ormonde Maddock Dalton. Clarendon Press: 1967.
- Decem Libri Historiarum: Books 1-10. Translated by Ernest Brehaut. Available at Medieval Sourcebook.
Viungo vya nje Edit
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |