Hamdi Nagguez

Mchezaji wa soka wa Tunusia

Hamdi Nagguez (alizaliwa 28 Oktoba 1992) ni mchezaji wa soka wa timu ya taifa ya Tunisia ambaye anacheza kama beki wa klabu ya Zamalek SC.

Hamdi Nagguez

Kazi ya klabu hariri

Nagguez alizaliwa Menzel Kamel, Tunisia, na alianza kazi yake katika klabu ya Étoile Sportive du Sahel mwaka 2013.

Alikuwa maarufu na mashabiki walimfurahia na kuwa mmoja wa wachezaji wadogo zaidi katika timu hiyo.

Alifunga magoli 6 akiwa na timu yake katika mechi 78 na pia alikuwa na uamuzi mzuri katika kuamua.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hamdi Nagguez kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.