Hector Bellerin

Mchezaji wa soka wa Hispania

Héctor Bellerín (alizaliwa tarehe 19 Machi 1995) ni mchezaji wa soka ambaye anacheza katika klabu ya Uingereza Arsenal na timu ya taifa ya Hispania.

Picha ya Hector Bellerin.

Bellerín alianza kazi yake kama winga mshambuliaji katika klabu ya Barcelona F.C., na anasema maendeleo yake yamefanikiwa sana na Steve Bould baada ya kufika Arsenal katika majira ya joto ya 2011.

Kasi yake ya kupiga mbio kwa ujuzi kwenye mpira, na uwezo wa kuvuka pia umemsaidia katika kujenga fursa kwa timu yake. Mnamo tarehe 21 Novemba 2016, alisaini mkataba wa muda ambao unamfungia klabuni hadi mwaka wa 2022.

Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hector Bellerin kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.