Hifadhi ya Taifa ya Kundelungu

hifadhi iliopo Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo

Hifadhi ya Taifa ya Kundelungu ni mbuga ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, iliyoko katika Mkoa wa Haut-Katanga .

Hifadhi hii ilianzishwa kwa mara ya kwanza mwaka 1970. [1] Ina eneo la takribani kilomita za mraba 7,600.

Mfumo ikolojia katika hifadhi ni savanna yenye nyasi kwenye nyika kubwa zilizo na maghala ya misitu na sifa za Katanga . Wanyama wanaopatikana katika mbuga hiyo ni pamoja na swala, mbwamwitu, nungunungu, nguruwe, nyoka, nyani, nyati, viboko na aina za ndege wakiwemo egrets , korongo na mwari. [2]

Kundelungu ni hifadhi ya IUCN jamii II. [3]

Marejeo hariri

  1. Parc National des Kundelungu Archived 19 Septemba 2021 at the Wayback Machine., Katanga Tourisme
  2. "Kundelungu National Park- Congo Wildlife Safari tours | Congo National Parks" (kwa en-US). Iliwekwa mnamo 8 December 2020.  Check date values in: |accessdate= (help)
  3. Kundelungu National Park, Protected Planet
  Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Hifadhi ya Taifa ya Kundelungu kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.