Hubertus wa Liege
Hubertus au Hubert (656 hivi – Tervueren, leo nchini Ubelgiji, 30 Mei 727) alikuwa askofu wa Tongeren-Maastricht, kati ya Ubelgiji na Uholanzi kuanzia mwaka 708[1] aliyeinjilisha kwa bidii eneo hilo hata akapewa jina la Mtume wa Ardennes[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.[4]
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ Crystal, David (1994). The Cambridge Biographical Encyclopedia. Cambridge: Cambridge University Press, 471. ISBN 0521434211.
- ↑ R. de la Haye, “Lambertus, laatste bisschop van Maastricht; Hubertus, eerste bisschop van Luik: Hun eigentijdse levensbeschrijvingen”, Publications de la Société Historique et Archéologique dans le Limbourg (PSHAL) 143 (2007), 9-66.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/76100
- ↑ Hubert's Key in the Science Museum, London. Jalada kutoka ya awali juu ya 2010-03-19. Iliwekwa mnamo 2018-01-27.
- ↑ Martyrologium Romanum
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Painting from the National Gallery, London The Conversion of Saint Hubert
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |