Huzuni (kutoka neno la Kiarabu) ni hali ya simanzi inayompata mtu au mnyama kwa kupatwa na jambo lisilomfurahisha. Ni kati ya maono ya msingi.

Sehemu ya sanamu ya mwaka 1672 kuhusu Kuzikwa kwa Kristo, ikimuonyesha Maria Magdalena akitokwa na machozi kwa huzuni.

Kadiri ya silika, baadhi wanaelekea huzuni kuliko kawaida.