Ismaïla Sarr (alizaliwa 25 Februari 1998) ni mchezaji wa soka wa Senegal ambaye anacheza kama winga kwa klabu ya Uingereza Watford na timu ya taifa ya Senegal.

Maisha hariri

Alizaliwa huko Saint-Louis nchini Senegal. Sarr alianza kazi yake ya soka na klabu ya soka ya Senegal Génération Foot.

Tarehe 13 Julai 2016, Sarr alisaini mkataba wake wa kwanza wa kitaaluma na FC Metz kwa miaka mitano, lakini aliitumikia timu hiyo kwa mwaka mmoja tu.

Tarehe 26 Julai 2017, Sarr alisaini mkataba wa miaka minne na Rennes upande wa Ligue 1 (Ufaransa). Malipo ya uhamisho uliotolewa kwa Metz uliripotiwa kuwa milioni 20, kulingana na mchezo wake.

  Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Ismaila Sarr kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.