Ivo Helory
Ivo Helory, T.O.S.F. (pia: Yvo, Yves, Ives, Erwan, Iwan, Youenn au Eozenn; Kermartin, karibu na Tréguier, Brittany, Ufaransa Kaskazini-Magharibi, 17 Oktoba 1253 - Louennac, karibu na Tréguier, 19 Mei 1303) alikuwa msomi aliyepata kuwa padri mwadilifu aliyejitahidi sana kusaidia maskini, kutetea wanyonge na kuleta amani kati ya watu.
Alitangazwa mtakatifu na Papa Klementi VI mnamo Juni 1347.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
VyanzoEdit
- His vita is in the Acta Sanctorum, col. 735.
- Vauchez, André (1993). in Daniel E. Bornstein: The Laity in the Middle Ages: Religious Beliefs and Devotional Practices. Notre Dame: University of Notre Dame Press..
Viungo vya njeEdit
- Wigmore, John H., "St. Ives, Patron Saint Of Lawyers", 5 Fordham L. Rev. 401 (1936)
- Vie de saint Yves, bibliographie, hagiographie et tradition manuscrite Sur PECIA Ressources en médiévistique
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |