Jangwa la Gobi (kwa Kiingereza: Gobi Desert; kwa lugha ya Mandarin linaitwa Gobi, 戈壁, yaani brushland) ni jangwa kubwa la Asia[1] likienea kwa kilomita mraba 1,295,000[2].

Ramani ya jangwa la Gobi.

Linaenea kaskazini mwa China na kusini mwa Mongolia, kusini kwa milima ya Altai.

Sababu yake ni kwamba nyanda za juu za Tibet huzuia mvua kutoka Bahari ya Hindi zisifike hadi Gobi.

Katika historia ni maarufu kama sehemu ya Dola la Mongolia na mahali pa miji muhimu ya Silk Road.

Tanbihi hariri

  1. Sternberg, Troy; Rueff, Henri; Middleton, Nick (2015-01-26). "Contraction of the Gobi Desert, 2000–2012". Remote Sensing (kwa Kiingereza) 7 (2): 1346–1358. doi:10.3390/rs70201346. 
  2. Wright, John W., mhariri (2006). The New York Times Almanac (toleo la 2007). New York, New York: Penguin Books. uk. 456. ISBN 978-0-14-303820-7. 

Marejeo hariri

  • Owen Lattimore. (1973) "Return to China's Northern Frontier". The Geographical Journal, Vol. 139, No. 2 (June 1973), pp. 233–242.

Marejeo mengine hariri

  • Cable, Mildred and French, Francesca (1943) The Gobi Desert Landsborough Publications, London, OCLC 411792.
  • Man, John (1997) Gobi: Tracking the Desert Yale University Press, New Haven, ISBN 0-300-07609-6.
  • Stewart, Stanley (2001) In the Empire of Genghis Khan: A Journey among Nomads HarperCollins Publishers, London, ISBN 0-00-653027-3.
  • Thayer, Helen (2007) Walking the Gobi: 1,600 Mile-trek Across a Desert of Hope and Despair Mountaineer Books, Seattle, WA, ISBN 978-1-59485-064-6.
  • Younghusband, Francis (1904) The Heart of a Continent, John Murray.

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jangwa la Gobi kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.

42°35′N 103°26′E / 42.59°N 103.43°E / 42.59; 103.43