Jermana Cousin

(Elekezwa kutoka Jermana wa Pibrac)

Jermana Cousin (kwa Kifaransa: Germaine; Pibrac, Toulouse, Ufaransa wa leo, 1579 - Pibrac, 3 Januari 1601) alikuwa bikira asiye na wazazi wa kujulikana, fukara tena mgonjwa[1] aliyevumilia kwa imani ya kishujaa na hata furaha mateso yote yaliyompata [2].

Mt. Jermana alivyochorwa na Jean-Auguste-Dominique Ingres mwaka 1856.

Papa Pius IX aimtangaza mwenye heri tarehe 29 Mei 1854 halafu mtakatifu tarehe 29 Juni 1867.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Juni[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "From her birth she seemed marked out for suffering; she came into the world with a deformed hand and the disease of scrofula, and, while yet an infant, lost her mother. Her father soon married again, but his second wife treated Germaine with much cruelty. Under pretence of saving the other children from the contagion of scrofula she persuaded the father to keep Germaine away from the homestead, and thus the child was employed almost from infancy as a shepherdess. When she returned at night, her bed was in the stable or on a litter of vine branches in a garret. In this hard school Germaine learned early to practise humility and patience. She was gifted with a marvellous sense of the presence of God and of spiritual things, so that her lonely life became to her a source of light and blessing. To poverty, bodily infirmity, the rigours of the seasons, the lack of affection from those in her own home, she added voluntary mortifications and austerities, making bread and water her daily food. Her love for Jesus in the Blessed Sacrament and for His Virgin Mother presaged the saint. She assisted daily at the Holy Sacrifice; when the bell rang, she fixed her sheep-hook or distaff in the ground, and left her flocks to the care of Providence while she heard Mass. Although the pasture was on the border of a forest infested with wolves, no harm ever came to her flocks."<
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/57350
  3. Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.