1856
mwaka
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 18 |
Karne ya 19
| Karne ya 20
| ►
◄ |
Miaka ya 1820 |
Miaka ya 1830 |
Miaka ya 1840 |
Miaka ya 1850
| Miaka ya 1860
| Miaka ya 1870
| Miaka ya 1880
| ►
◄◄ |
◄ |
1852 |
1853 |
1854 |
1855 |
1856
| 1857
| 1858
| 1859
| 1860
| ►
| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1856 BK (Baada ya Kristo).
MatukioEdit
WaliozaliwaEdit
Kalenda ya Gregori | 2022 MMXXII |
Kalenda ya Kiyahudi | 5782 – 5783 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2775 |
Kalenda ya Ethiopia | 2014 – 2015 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1471 ԹՎ ՌՆՀԱ |
Kalenda ya Kiislamu | 1444 – 1445 |
Kalenda ya Kiajemi | 1400 – 1401 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2077 – 2078 |
- Shaka Samvat | 1944 – 1945 |
- Kali Yuga | 5123 – 5124 |
Kalenda ya Kichina | 4718 – 4719 辛丑 – 壬寅 |
- 12 Januari - John Singer Sargent, mchoraji kutoka Marekani
- 15 Juni – Edward Channing (mwanahistoria wa Marekani na mshindi wa Tuzo ya Pulitzer, mwaka wa 1926)
- 10 Julai - Nikola Tesla, mwanafizikia kutoka Austria-Hungaria
- 26 Julai - George Bernard Shaw (mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi, mwaka wa 1925)
- 27 Septemba - Karl Peters (alianzisha koloni ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani)
- 18 Desemba - Joseph John Thomson, mwanafizikia kutoka Uingereza na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 1906
- 22 Desemba - Frank Kellogg (mwanasiasa Mmarekani na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani, mwaka wa 1929)
- 28 Desemba - Woodrow Wilson (Rais wa Marekani, na mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Amani mwaka wa 1919)
bila tarehe
- Mtakatifu Andrea Kaggwa, mmojawapo wa Wafiadini wa Uganda
WaliofarikiEdit
- 3 Mei - Adolphe Adam (mtungaji wa muziki Mfaransa)
- 29 Julai - Robert Schumann, mtunzi wa muziki kutoka Ujerumani
- 24 Agosti - Mtakatifu Emilia wa Vialar, bikira wa Ufaransa
- 19 Oktoba - Said bin Sultani wa Maskat, Omani na Zanzibar
Wikimedia Commons ina media kuhusu: