Joviniani wa Auxerre

Joviniani wa Auxerre (kwa Kilatini: Jovinianus; kwa Kifaransa: Jovinien; alifia dini Auxerre, leo nchini Ufaransa, karne ya 3 hivi) alikuwa msomaji wa Kanisa, kati ya wainjilishaji wa kwanza wa mji huo aliyeuawa kwa ajili ya imani yake wakati wa dhuluma ya Dola la Roma[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Mei[3].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Patron Saints Index: Saint Jovinian of Auxerre". Archived from the original on 2012-08-28. Retrieved 2007-07-24
  2. http://www.santiebeati.it/dettaglio/51890
  3. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.