Juhudi (kutoka neno la Kiarabu juhudجهود) ni matumizi makubwa ya akili, ujuzi, maarifa na nguvu ili kujipatia maendeleo ya kiroho, ya kiuchumi n.k.

Buddha alifanya juhudi nyingi kabla ya kuhimiza wastani.[1] Fransisko wa Assisi pia alifanya juhudi nyingi.[2]

Dini nyingi zinahimiza juhudi katika maadili na maisha ya kiroho.

Tanbihi hariri

  1. Randall Collins (2000), The sociology of philosophies: a global theory of intellectual change, Harvard University Press, ISBN|978-0674001879, page 204
  2. William Cook (2008), Francis of Assisi: The Way of Poverty and Humility, Wipf and Stock Publishers, ISBN|978-1556357305, pages 46-47

Marejeo hariri

Marejeo mengine hariri

 
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
  • Valantasis, Richard. The Making of the Self: Ancient and Modern Asceticism. James Clarke & Co (2008) ISBN|978-0-227-17281-0.

Viungo vya nje hariri

 
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  • Asketikos- articles, research, and discourse on asceticism.