Juventino na Masimino

Juventino na Masimino (walifariki Antiokia, leo nchini Uturuki, 29 Januari 363) walikuwa askari walinzi wa kaisari Juliani Mwasi waliouawa kwa ajili ya imani yao ya Kikristo[1].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 29 Januari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. Saint John Chrysostom wrote a panegyric concerning them. Cfr. Butler, Alban. "St. Juventinus and St. Maximinus, Martyrs", The Lives of the Saints. 1866 Chrysostom makes the point that they were executed in the middle of the night on a charge of high treason, as Julian did not want to make martyrs of them by suggesting they died because of their faith.
  2. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.