Karani
Karani (kutoka neno la Kiarabu قرا kusoma[1]) ni mtu ambaye hufanya kazi za ofisini katika taasisi za serikali au kampuni au mwajiri mwingine yeyote.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ad/Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg/220px-Anker_Der_Gemeindeschreiber.jpg)
Wajibu wa karani ni pamoja na utunzaji wa kumbukumbu na majukumu mengine ya kusaidia utawala. [2]
Marejeo
hariri- ↑ linganisha kamusi ya Krapf, 1882 "karani"
- ↑ "Merriam Webster, definition of clerical worker". Iliwekwa mnamo 2007-06-07.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |