Kwinidi (500 hivi - 578 hivi) alikuwa askofu wa 8 wa Vaison-la-Romaine, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 556 [1].

Sanamu yake.

Kabla ya hapo alikuwa mkaapweke na shemasi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Februari[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.