Kaisari Leo V

(Elekezwa kutoka Leo V wa Bizanti)

Kaisari Leo V (775 hivi - 25 Desemba 820) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 813[1] hadi 820, alipouawa.

Sarafu yenye sura yake na ya mwanae Konstantino.

Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kudhulumu Wakristo wengi akidai wasitumie tena picha takatifu.

Tazama piaEdit

TanbihiEdit

MarejeoEdit

Viungo vya njeEdit

Wikimedia Commons ina media kuhusu: