Kaisari Leo V
(Elekezwa kutoka Leo V wa Bizanti)
Kaisari Leo V (775 hivi - 25 Desemba 820) alitawala Dola la Roma Mashariki kuanzia mwaka 813[1] hadi 820, alipouawa.
Katika historia ya Kanisa anakumbukwa kwa kudhulumu Wakristo wengi akidai wasitumie tena picha takatifu.
Tazama piaEdit
TanbihiEdit
- ↑ (1997) "A.M. 6305", The Chronicle of Theophanes Confessor. Oxford University Press, 502. ISBN 9780198225683.
MarejeoEdit
- The Oxford Dictionary of Byzantium, Oxford University Press, 1991.
Viungo vya njeEdit
Wikimedia Commons ina media kuhusu: