Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na ilizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].

Sanamu ya Mt. Liseri inayotunza masalia yake.

Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Agosti.[2]

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Viungo vya nje hariri

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu: