Lugha za Kianatolia

Lugha za Kianatolia ni jina la kundi la lugha za kale zilizotumika hasa katika rasi ya Anatolia (leo Uturuki). Kundi hilo linaainishwa kama mojawapo kati ya yale ya lugha za Kihindi-Kiulaya.

Maarufu zaidi ilikuwa ile ya Wahiti. Zote zilikoma kufikia mwanzo wa milenia ya 1 BK kwa kuzidiwa na Kigiriki.

Viungo vya nje

hariri
  • "Digital etymological-philological Dictionary of the Ancient Anatolian Corpus Languages (eDiAna)". Ludwig-Maximilians-Universität München. Iliwekwa mnamo 18 Februari 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • "Luwian". ancientscripts.com. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2012-02-04. Iliwekwa mnamo 7 Februari 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Justus, Carol; Slocum, Jonathan. "Indo-European Languages: Anatolian Family". University of Texas at Austin. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 5 Februari 2012. Iliwekwa mnamo 7 Februari 2012. {{cite web}}: Unknown parameter |= ignored (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  • Melchert, H. Craig. "Anatolian Databases". UCLA. Iliwekwa mnamo 7 Februari 2012.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link) Luwian, Lycian and Lydian.
  • Lauffenburger, Olivier (2006). "The Hittite Grammar Homepage". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2011-05-20.
  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kianatolia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.