Lugha za Kianatolia
Lugha za Kianatolia ni jina la kundi la lugha za kale zilizotumika hasa katika rasi ya Anatolia (leo Uturuki). Kundi hilo linaainishwa kama mojawapo kati ya yale ya lugha za Kihindi-Kiulaya.
Maarufu zaidi ilikuwa ile ya Wahiti. Zote zilikoma kufikia mwanzo wa milenia ya 1 BK kwa kuzidiwa na Kigiriki.
Viungo vya njeEdit
- Digital etymological-philological Dictionary of the Ancient Anatolian Corpus Languages (eDiAna). Ludwig-Maximilians-Universität München. Iliwekwa mnamo 18 February 2017.
- Luwian. ancientscripts.com. Iliwekwa mnamo 7 February 2012.
- Justus, Carol. Indo-European Languages: Anatolian Family. University of Texas at Austin. Jalada kutoka ya awali juu ya 5 February 2012. Iliwekwa mnamo 7 February 2012.
- Melchert, H. Craig. Anatolian Databases. UCLA. Iliwekwa mnamo 7 February 2012. Luwian, Lycian and Lydian.
- Lauffenburger, Olivier (2006). The Hittite Grammar Homepage. Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-05-20.
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kianatolia kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |