Lusiano na Marsiano

Lusiano na Marsiano (walifariki mwaka 250 hivi) walikuwa Wakristo wa Nikomedia, leo Izmit nchini Uturuki, ambao waliuawa kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Decius wa Dola la Roma[1].

Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila mwaka tarehe 26 Oktoba[2].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.