Mbu : Tofauti kati ya masahihisho

jamii ya wadudu wanao paa
Content deleted Content added
Ukurasa mpya
(Hakuna tofauti)

Pitio la 20:49, 10 Oktoba 2013

Mbu
Mbu wa aina ya anofelesi (Anopheles gambiae) akifyonza damu
Mbu wa aina ya anofelesi (Anopheles gambiae) akifyonza damu
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Arthropoda (Wanyama wenye miguu yenye viungo)
Nusufaila: Hexapoda (Wanyama wenye miguu sita)
Ngeli: Insecta (Wadudu)
Ngeli ya chini: Pterygota (Wadudu wenye mabawa)
Oda: Diptera (Wadudu wenye mabawa mawili tu)
Nusuoda: Nematocera (Diptera wenye vipapasio kama nyuzi)
Familia ya juu: Culicoidea (Wadudu kama mbu
Familia: Culicidae (Mbu)
Meigen, 1818
Ngazi za chini

Nusufamilia 3:

Mbu ni wadudu wadogo wa familia Culicidae katika oda ya Diptera. Spishi za mbu zinazojulikana sana ni zile ambazo hufyunza damu. Ni majike ambao wanafyunza damu, kwa sababu lazima wakuze mayai. Madume na spishi nyingine za mbu hufyunza mbochi au utomvu. Mbu wafyunzao damu hurithisha magonjwa mara nyingi, k.m. malaria (spishi za anofelesi (Anopheles)), homanyongo, homa ya vipindi, chikungunya (spishi za Aedes) na matende (spishi za kuleksi (Culex)).

Spishi kadhaa za Afrika

  Makala hii kuhusu mdudu fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mbu kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.