Baraza la mawaziri Tanzania 2015 : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo ya mgawanyo wa madaraka....' |
(Hakuna tofauti)
|
Pitio la 18:53, 11 Desemba 2015
Baraza la Mawaziri la Tanzania ni ngazi ya juu ya serikali au mkono wa utendaji wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mfumo ya mgawanyo wa madaraka.
Baraza hili linafanywa na rais, makamu wa rais, rais wa Zanzibar, waziri mkuu na mawaziri wote. [1] Manaibu mawaziri si sehemu ya baraza. Mwanasheria Mkuu anashiriki katika mikutano ya baraza bila haki ya kupiga kura.
Mikutano ya baraza inaongozwa na Rais kama mwenyekiti, kama hayupo na Makamu wa Rais na kama wote wawili hawapo na Waziri Mkuu.[2]
Chama anakotoka | Chama Cha Mapinduzi |
---|
Marejeo
- ↑ "Cabinet of Tanzania". tanzania.go.tz. May 2012. Iliwekwa mnamo May 2012. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ Katiba ya Tanzania, fungu 54
- ↑ "Baraza la Mawaziri". Ikulu. 10 December 2015. Iliwekwa mnamo 11 December 2015. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help) - ↑ "Magufuli releases long awaited cabinet", 10 December 2015.
- ↑ Chama Cha Mapinduzi [@ccm_tanzania] (10 December 2015). "Rais Magufuli atangaza Baraza la Mawaziri" (Tweet) (kwa Swahili). Iliwekwa mnamo 10 December 2015 – kutoka Twitter. Check date values in:
|date=, |accessdate=
(help)