Autberi (pia: Aubert; Haucourt, 600 hivi - Cambrai, leo Ufaransa, 669 hivi) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa Arras na Cambrai kuanzia mwaka 633.

Mt. Aubert katika ikulu ya Bruxelles, Ubelgiji.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Desemba[1].

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

Marejeo hariri

  • M. Le Glay, Cameracum christianum ou Histoire ecclésiastique du Diocèse de Cambrai, 1849, Imprimerie L.Lefort à Lille, page xii, bibliothèque de l'Université de Gand, numérisé par Google Books
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.