Idadi ya wakazi wa Afrika imeongezeka sana katika karne ya mwisho,[1] na kwa sababu hiyo wengi wao ni watoto na vijana, pia kwa sababu matarajio ya kuishi si ya miaka mingi (katika nchi nne ni chini ya miaka 50).[2]

Nchi nyingi za Afrika zina ongezeko la watu linalozidi asilimia 2 kwa mwaka.
Ramani ya Afrika ikizingatia Human Development Index (2004).

     above 0.950      0.900–0.949      0.850–0.899      0.800–0.849      0.750–0.799

     0.700–0.749      0.650–0.699      0.600–0.649      0.550–0.599      0.500–0.549

     0.450–0.499      0.400–0.449      0.350–0.399      0.300–0.349      under 0.300      n/a

Matarajio ya kuishi
     +80      +77.5      +75      +72.5      +70      +67.5      +65      +60      +55      +50      +45      +40      - 40

Katika miaka 1982–2009 idadi ya watu imekuwa maradufu[3] tena ukihesabu miaka 1955–2009 imekuwa mara nne zaidi.[4]

Kwa sasa ongezeko ni la asilimia 2.6 kwa mwaka na wakazi wa Afrika wamekuwa 1,225,080,510 (2016), sawa na 15% za watu wote duniani. Umoja wa Mataifa unatabiri kwamba wanaweza kufikia 26% mwaka 2050 (2,500,000,000) na 39% mwaka 2100 (4,400,000,000).[5]

Tazama pia

Viungo vya nje

 
Wikimedia Commons ina media kuhusu:


Tanbihi

  1. Zinkina J., Korotayev A. Explosive Population Growth in Tropical Africa: Crucial Omission in Development Forecasts (Emerging Risks and Way Out). World Futures 70/2 (2014): 120–139.
  2. According to the 2012 CIA Factbook, 4 of 53 countries show a life expectancy at birth below 50 years
  3. "Africa population tops a billion". BBC. 2009-11-18. 
  4. "World Population Prospects: The 2004 Revision" United Nations (Department of Economic and Social Affairs, population division)
  5. World Population Prospects 2015 revision United Nations Population Division, 2015.