Jalisco (kwa Kinahuatl: tambarare ya mchanga) ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexico ya kati-magharibi ya nchi. Ina pwani na Pasifiki. Mji mkuu na mji mkubwa ni Guadalajara.

Puerto Vallarta, Jalisco
Bendera ya Jalisco
Mahali pa Jalisco katika Mexiko

Imepakana na Nayarit, Zacatecas, Aguascalientes, San Luis Potosí, Guanajuato, Colima na Michoacán.

Jimbo lina wakazi wapatao 7,000,000 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 79,085.

Gavana wa jimbo ni Emilio González Márquez.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Miji Mikubwa hariri

  1. Guadalajara (1,579,174)
  2. Puerto Vallarta (177,830)
  3. Lagos de Moreno (92,716)
  4. Ciudad Guzmán (90,000)

Viungo vya Nje hariri

  Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Jalisco kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.