Majadiliano:Rwinga
Latest comment: miaka 12 iliyopita by Kipala in topic Uwepo wa uranium Namtumbo itafaidisha vipi Rwinga
Haya ni Majadiliano kwa ajili ya kuboresha makala ya Rwinga. | |||
---|---|---|---|
|
|
Hii ni makala ya Rwinga ipo katika eneo la Wikipedia:Mradi wa Tanzania, juhudi za pamoja katika kuboresha maeneo ya Tanzania kwenye Wikipedia. Iwapo utapenda kushiriki, tafadhali tembelea ukurasa wa mradi, ambapo unaweza kujiunga na majadiliano na utazame orodha ya kazi zilizo wazi. |
Uwepo wa uranium Namtumbo itafaidisha vipi Rwinga hariri
Natanguliza shukrani kwa yeyote atakayechangia, hoja yangu ni jinsi gani wakazi wa Rwinga watafaidika na uwepo wa uranium (mchango wa mtumiaji asiyejiandikisha mwenye anwani ya 41.73.197.177 saa 13:13 tar. 12-06-2011)
- Kwanza kabisa nashukuru kwa kutukumbusha juu ya matokeo mapya. Je una uwezo wa kuongeza habari kadhaa? Una sababu ya kuleta majadiliano hapa kwenye makala ya kata ya Rwinga? Eneo la mradi wa urani liko hapa au wapi katika wilaya ya Namtumbo? Menginevyo ni wazi kuna nafasi za maendeleo (ajira, barabara, nyuzi za umeme...) lakini pia hatari kama uharibifu wa mazigira, uchimbaji wa madini hatari na kadhlakia. Itategemea usimamizi na masharti kwa kampuni inayochimba. --Kipala (majadiliano) 19:01, 12 Juni 2011 (UTC)