Marsiano wa Siracusa

Marsiano wa Siracusa (Antiokia, leo nchini Uturuki; Siracusa, Sicilia, Italia) alikuwa askofu wa mji huo ambaye anahesabiwa kuwa wa kwanza[1][2].

Sanamu yake katika kanisa kuu la Siracusa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, pengine mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Oktoba[3] au 9 Februari.

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91454
  2. Martyred bishop of Syracuse, Italy, called "the First Bischop of the West". Cfr. C. J. Stallman, The Past in Hagiographic Texts: S. Marcian of Syracuse, in G. W. Clarke, Reading the Past in Late Antiquity, Singapore 1990, pp. 347-365 e Hugo Buchthal, Art of the Mediterranean World: 100-1400 A. D., 1983, p. 61.
  3. Martyrologium Romanum
  Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.