Mats Julian Hummels (alizaliwa 16 Desemba 1988) ni mchezaji wa soka wa Ujerumani ambaye anacheza kama mlinzi katika klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Ujerumani.

Huyu ni Mats Hummels

Alianza kucheza katika chuo cha vijana wa Bayern Munich kabla ya kujiunga na Borussia Dortmund kwa mkopo Januari 2008 na kusaini rasmi Dortmund mwezi Februari 2009 kwa euro milioni 4. Utukufu wake katika klabu hujumuisha vyeo viwili vya ligi na kumaliza kama mchezaji katika Ligi ya Mabingwa ya UEFA 2012-13. Mnamo Mei 2016, Hummels alitia saini ya makubaliano na Bayern.

Hummels ameanza kuchezea timu ya taifa tangu 2010,na kupata zaidi ya magoli 60 na kuwakilisha Ujerumani katika UEFA Euro 2012, 2014 FIFA Kombe la Dunia, UEFA Euro 2016.


Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mats Hummels kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.